Transfer - International

Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Disemba 20 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Dec 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Disemba 20 2023

Real Madrid wanakaribia kufanya hatua ya kushtukiza kumsajili mshambuliaji wa Argentina Mauro Icardi, 30, kutoka klabu ya Uturuki ya Galatasaray. (Marca)

Borussia Dortmund wanavutiwa na beki wa Tottenham Hotspur Mhispania Sergio Reguilon, 27, ambaye anaichezea Manchester United kwa mkopo. Reguilon ana kipengele cha kumaliza mkopo wake katika mkataba wake. (Bild - kwa Kijerumani, usajili unahitajika)

Brentford imezitahadharisha Arsenal na Chelsea kwamba watalazimika kulipa ada 'inayostahili' ikiwa wanataka kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Ivan Toney, 27. (Talksport)

Tottenham, Aston Villa na Brighton wamefanya mawasiliano na Juventus kumhusu winga Muingereza Samuel Iling-Junior, 20, ingawa bado hakuna ofa yoyote iliyotolewa. (Tuttomercatoweb - kwa Kiitaliano)

RB Leipzig wana nia ya kumsajili winga wa Manchester United Jadon Sancho, 23, lakini kumudu mshahara wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza kunaweza kuwa tatizo kwa klabu hiyo ya Ujerumani. (Bild - kwa Kijerumani, usajili unahitajika)

Wakati Sancho anaweza kuondoka, Manchester United haitarajii kufanya usajili wowote mkubwa mwezi Januari, mkurugenzi wa soka John Murtough amewaambia mashabiki. (The Athletic)

Kiungo wa kati wa Fulham na Ureno Joao Palhinha, 28, hatalengwa tena na Liverpool mwezi Januari. Vilabu vingine vya juu vinamtaka , ingawaje, Bayern Munich wanamchukulia kuwa na gharama ghali sana. (Sky Sport Germany)

Newcastle United wameanza mazungumzo na kiungo wa kati wa Uingereza Lewis Miley, 17, kuhusu kusaini mkataba wa muda mrefu atakapofikisha miaka 18 baadaye msimu huu. (Telegraph - usajili unahitajika)

Klabu ya Preston North End ina nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Manchester United Muingereza Dan Gore, 19, kwa mkopo kwa msimu uliosalia. (Manchester evening News)

Copenhagen iko tayari kumuuza winga wa Uswidi Roony Bardghji, 18, anayelengwa na Chelsea, Manchester United na Tottenham, mwezi Januari. (90 min)

BBC

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’