Rasmi klabu ya JS Kabylie ya Algeria imechana na mshambuliaji Mtanzania Simon Msuva
Katika taarifa yake Kabylie mbali na Msuva pia imeacha na mshambu-liaji mwingine mkongwe Hichem Mokhtar raia wa Taifa hilo
Msuva aliyejiunga na klabu hiyo Agosti 27,2023 akitokea Al - Qadsi-ah ya Saudi Arabia hakufanikiwa kuwa mwanzo mzuti ndani ya timu hiyo kwa kukosa kuanza kwenye mechi nyingi na Waalgeria hao
Ujio wa kocha Mreno Lui Almeida umechangia kwa kiasi kikubwa kuondoka kwa Msuva ndani ya Kybalie baada ya kocha huyo kushindwa kukubaliana na uwezo wa mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga
Almeida amewaambia mabosi wa Kabylie kuwa anataka washambuliaji wengine wawili wenye makali zaidi tofauti na hawa ambao a emewa-tema



