Kikosi cha awali Stars hadharani

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st December 2023


Kikosi cha awali Stars hadharani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza majina ya wachezaji 53 wanaounda kikosi cha awali cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambacho kitashiriki michuano ya Afcon 2023 itakayofanyika Januari 2024 huko Ivory Coast

Wachezaji hao watafanyiwa mchujo na kubaki 53 watakaokwenda Ivory Coast


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.