Simba yatangaza kuwasimamisha Chama, Kapama

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st December 2023


Simba yatangaza kuwasimamisha Chama, Kapama

Klabu ya Simba imetangaza kuwasimamisha wachezaji Clatous Chama na Nassor Kapama kutokana na makosa ya utovu wa Nidhamu

Wachezaji hao wanatarajiwa kupelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu kwa ajili ya hatua zaidi za kinidhamu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.