Mechi saba Ligi Kuu zapigwa kalenda

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd December 2023


Mechi saba Ligi Kuu zapigwa kalenda

Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) imeahirisha michezo saba ya Ligi Kuu ya NBC ili kupisha michezo kati ya timu ya Taifa ya Zanzibar na timu ya Taifa ya Tanzania Bara itakayofanyika Disemba 27 pamoja na maandalizi ya timu ya Taifa ya Tanzania kuelekea fainali za kombe la Mataifa (Afcon 2023) itakayofanyika Ivory Coast, kuanzia Januari 13 2024

Michezo iliyoahirishwa

  • Tabora United vs Simba Sc (Disemba 29)
  • Yanga vs Mashujaa (Disemba 29)
  • Mashujaa vs Simba (Disemba 26)
  • Kagera Sugar vs Yanga (Disemba 26)
  • Simba vs Azam (Januari 01, 2024)
  • Geita Gold vs Simba (Januari 04, 2024)
  • Yanga vs Dodoma Jiji (Januari 02, 2024)


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.