Uongozi wa klabu ya Kagera Sugar umemfuta kazi aliyekuwa kocha wao Mkuu Meck Mexime baada ya mfululizo wa matokeo mabaya
Jana Kagera Sugar ilichapwa mabao 4-0 dhidi ya Azam Fc ukiwa ni mchezo wa pili mfululizo timu hiyo imepoteza baada ya pia kuchapwa mabao 3-0 na Simba katika mchezo uliopta
Kagera sugar pia imesitisha mkataba wa kocha wao wa Viungo Fransis Mkanul
Kwa sasa kikosi cha Kagera Sugar kitaendelea kusalia chini ya Kocha wao Msaidizi Marwa Chamaberi