Transfer - International

Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Disemba 27 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Dec 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Disemba 27 2023

Tottenham Hotspur inamfuatilia mshambuliaji wa Bournemouth Muingereza Dominic Solanke, 26, wakati wakitafuta kusajili mshambuliaji msimu wa joto. (Sun)

Newcastle na Juventus ndio wanaongoza kwa sasa katika mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Kalvin Phillips mwenye umri wa miaka 28 kutoka Manchester City mwezi ujao. (Football Insider)

Inter Milan wanasonga mbele katika mazungumzo ya kumsajili mlinzi wa Club Bruges wa Canada Tajon Buchanan mwenye umri wa miaka 24 ambaye pia amezivutia Manchester City na Bournemouth. (Fabrizio Romano)

Meneja wa Manchester United Erik ten Hag amekataa kuthibitisha iwapo mshambuliaji Anthony Martial atauzwa mwezi Januari. (Guardian)

Barcelona wanaweza kukosa kumsajili Estevao Willian wa Palmeiras mwenye umri wa miaka 16 huku Chelsea, Manchester City, Manchester United na Paris St-Germain zikijiandaa kumsajili mlinzi huyo wa Brazil. (Mundo Deportivo)

Aliyekuwa mkurugenzi wa michezo wa Liverpool Julian Ward ameibuka kuwa mgombea wa nafasi kama hiyo katika klabu ya Manchester United. (Telegraph) Real Betis wanapiga hatua katika mpango wa kudumu wa kumnunua kiungo wa kati wa Leeds United Mhispania Marc Roca, 27, ambaye yuko kwa mkopo katika klabu hiyo ya Uhispania. (Football Insider)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’