Kilimanjaro Stars, Zanzibar Heroes kuzindua Amaan Stadium leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th December 2023


Kilimanjaro Stars, Zanzibar Heroes kuzindua Amaan Stadium leo

Baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa, Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar ambao utatumika katika michuano ya kombe la Mapinduzi, utazinduliwa leo Jumatano

Mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) dhidi ya timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes), utapigwa katika uwanja huo

Mchezo huo ambao hautakuwa na kiingilio utapigwa saa 2:15 Usiku

Maboresho ya Uwanja wa Amaan yamefuata mahitaji yote ya CAF na FIFA hivyo uwanja huo utaweza kutumika hata katika michuano ya Kimataifa inayoandaliwa na CAF/FIFA


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.