Simba - Local

Simba kuelekea Zanzibar Jumapili

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Dec 2023
Simba kuelekea Zanzibar Jumapili

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema kikosi kimerejea mazoezini kwa ajili ya michuano ya kombe la Mapinzudi inayoanza kutimua vumbi leo huko Zanzibar

Ahmed amesema Jumapili, Disemba 31 timu itaelekea Zanzibar ikiwa na wachezaji wote ambao hawatakuwa katika majukumu ya timu za Taifa

"Tumeanza maandalizi kwa ajili ya michuano ya kombe la Mapinduzi. Timu itaondoka Dar Disemba 31 kuelekea Zanzibar tayari kwa michuano hiyo"

"Tunakwenda Zanzibar na wachezaji wote ambao hawatakuwa na majukumu ya timu za Taifa zinazokwenda kushiriki michuano ya Afcon 2023"

"Mashabiki wetu Zanzibar wakae tayari kuipokea timu yao, tunapeleka burudani Zanzibar na lengo letu ni kurejea na kombe Dar," alisema Ahmed

Mchezo wa kwanza wa Simba ni dhidi ya JKU na utapigwa Januari 1 2024 katika uwanja wa Amaan Complex uliozonduliwa rasmi jana baada ya kufanyiwa ukarabati

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’