Newcastle United wana imani kuwa wanaweza kukubaliana kuhusu mpango wa kumsaini kiungo wa kati wa Uingereza Kalvin Phillips kutoka Manchester City lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka kwa Juventus, Everton na Crystal Palace kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. (Telegraph)
..... download Xtra 90 App



