Azam - Local - Transfer

Azam Fc yaleta Mcolombia wa kwanza Ligi Kuu Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Dec 2023
Azam Fc yaleta Mcolombia wa kwanza Ligi Kuu Tanzania

Jana klabu ya Azam Fc ilitambulisha usajili wa mshambuliaji Franklin Navarro raia wa Colombia

Navarro anakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Colombia kucheza ligi kuu ya Tanzania Bara

Hii ni ishara kuwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara sasa inapasua anga

Kuna kundi kubwa la wachezaji kutoka nje, hata masafa ya mbali huko Amerika

Msimu uliopita Singida BS ilisajili wachezaji kutoka Brazil na Argentina na sasa tunaona Azam Fc wameenda Colombia

Hata hivyo uzoefu unaonyesha wachezaji hao kutoka America wamekuwa na wakati mgumu kuonyesha umahiri wao hapa Tanzania

Lakini inaweza kuwa tofauti kwa Navarro ambaye anatajwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi na jicho la kuliona lango

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
49m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’