Yanga - Local

Yanga kuanza na Jamhuri Mapinduzi Cup leo

Joel JJ By Joel JJ
31 Dec 2023
Yanga kuanza na Jamhuri Mapinduzi Cup leo

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga leo wanatupa karata yao ya kwanza katika michuano ya kombe la Mapinduzi kwa mchezo dhidi ya Jamhuri ambao utapigwa saa 2:15 usiku katika uwanja wa New Amaan Complex

Wananchi walitua Zanzibar jana wakiwa na msafara uliojumuisha wachezaji 22

Kocha Miguel Gamondi aliongoza kikosi jana jioni katika mazoezi ya mwisho yaliyofanyika uwanja wa Amaan

Ukiangalia benchi la ufundi limekamilika, wachezaji wote ambao hawako kwenye majukumu ya timu za Taifa wamesafiri isipo kuwa Yao Kouassi na Khalid Aucho ambao imeelezwa wana ruhusa maalum

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema wanataka kutwaa taji la Mapinduzi msimu huu

Aidha Kamwe amewataka mashabiki wa Yanga kuhakikisha wanawahi mapema uwanja wa Amaan kwani kabla ya mchezo kutakuwa na utambulisho wa mchezaji mpya

More Stories

Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
28m ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
31m ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
48m ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
51m ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
2h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
13h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
13h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
13h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
17h ago
READ MORE →