Simba yatua Zanzibar

Joel JJ By Joel JJ β€’ 31st December 2023


Simba yatua Zanzibar

Kikosi cha Simba kimewasili Zanzibar kushiriki michuano ya kombe la Mapinduzi iliyoanza kutimua vumbi siku chache zilizopita

Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha anatarajiwa kuondoka na wachezaji wote ambao hawatakuwa na majukumu ya timu za Taifa

Benchikha amesema atatumia michuano hii kuimarisha kikosi chake

Mchezo wa kwanza wa Simba utapigwa kesho Jumatatu dhidi ya JKU

Simba iko kundi B pamoja na JKU, Singida FG na APR. Hili ndio 'kundi la kifo'


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.