Yanga - Simba - Azam - Local

Stars yatimkia Misri kuweka kambi ya Afcon 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Jan 2024
Stars yatimkia Misri kuweka kambi ya Afcon 2023

Kikosi cha timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kimesafiri leo kwenda Cairo, Misri kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na michuano ya Afcon 2023 itakayofanyika Ivory Coast kuanzia Januari 13

Kikosi hicho cha kocha mkuu, Adel Amrouche kinaondoka na wachezaji 31 ambapo wanne watachujwa ili kubaki 27 watakaowakilisha nchi huku wanne hao watabakia wa akiba endapo waliopo kikosini watapata changamoto

Kikosi kamili cha Stars

1.Aishi Manula

2.Kwesi Kawawa
3.Beno Kakolanya
4.Metacha Mnata

5.Ibrahim Abdullah
6.Bakari Mwamnyeto
7.Dickson Job
8.Haji Mnoga
9.Mohamed Hussein
10.Danilo Maino
11.Novatus Dismas
12.Adam Kassa
13.Abdi Banda
14 Abdulmalick Zacharia

15.Sospeter Bajana
16.Muzamiru Yasin
17.Himid Mao
18.Mudathir Yahaya
19.Mourice Abraham

20.Ben Starkie
21.Abdul Soup
22.Tariq Yusuf
23.Kibu Deniss
24.Simon Msuva
25.Mbwana Samatta
26.Feisal Salum
27.Lusajo Mwaikenda
28.Hamdun
29.Charles M'mombwa
30.Isack Kachwele
31. Twariq Abdillah

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
44m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’