Yanga - Local

Yanga kuanza mawindo ya CR Belouizdad

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Jan 2024
Yanga kuanza mawindo ya CR Belouizdad

Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kurejea mazoezini Jumatatu ijayo kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazofuata Ligi ya Mabingwa, Ligi Kuu na kombe la FA

Baada ya kuondoshwa katika michuano ya kombe la Mapinduzi, nyota wa Yanga walipewa mapumziko ya takribani wiki moja kabla ya kurejea kuendelea na maandalizi

Ratiba ya michuano mbalimbali inatarajiwa kurejea mwishoni mwa mwezi wa pili baada ya kumalizika kwa michuano ya Afcon 2023 inayoanza Ivory Coast kesho Jumamosi

Katika ratiba hiyo, mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya CR Belouizdad itapigwa Februari 23 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Yanga inahitaji kushinda mchezo huo ili kuweka hai matumaini ya kutinga robo fainali ya michuano hiyo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’