Liverpool, Real Madrid na Paris St-Germain wanavutiwa na beki wa Lille ya Ufaransa aliye chini ya umri wa miaka 21, Leny Yoro, 18. (Telefoot kupitia AS - kwa Kihispania) Brighton wamekamilisha usajili wa beki wa pembeni wa Argentina chini ya umri wa miaka 20, 19, Valentin Barco kutoka Boca Juniors kwa takriban Β£8m. (Telegraph - usajili unahitajika)
..... download Xtra 90 App



