Yanga - Simba - Azam - Local

Stars yaanza kwa kipigo Afcon 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Jan 2024
Stars yaanza kwa kipigo Afcon 2023

Tanzania imepoteza mchezo wa kwanza michuano ya Afcon 2023 ikichapwa mabao 3-0 dhidi ya Morocco

Ghanem Saiss, El-Eddine Ounahi na Youssef En-nesyri walifunga mabao ya Morocco

Ulikuwa mchezo ambao Stars ilicheza kwa kujihami zaidi lakini ilikwenda mapumziko ikiwa nyuma kwa bao 1-0

Kadi ya pili ya njano ilipelekea Novatus Dismas kutolewa nje kwa kadi nyekundu

Haikuwa tena rahisi kwa Stars kwenda na kasi ya Morocco baada ya kuwa pungufu, pengine mambo yangekuwa mabaya zaidi kwa Stars siku ya leo

Stars sasa imebakisha alama sita za kupigania dhidi ya Zambia na DR Congo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
34m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
46m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’