Manchester United wanafikiria kurekebisha safu yao ya ulinzi katika msimu wa joto jambo ambalo linaweza kumaanisha beki wa kati wa Uingereza Harry Maguire, 30, na mlinzi wa Uswidi Victor Lindelof, 29, kuondoka ikiwa ofa muhimu zitatolewa kwa ajili yao. (ESPN)
..... download Xtra 90 App



