Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam - Local

FT : Zambia 1-1 Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Jan 2024
FT : Zambia 1-1 Tanzania

Bado Tanzania haijafanikiwa kupata ushindi katika michuano ya Afcon leo ikilazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia iliyocheza pungufu kwa muda mrefu

Ilibaki kidogo Stars kuondoka na alama tatu kama sio bao la Patson Daka aliyeisawazishia Zambia katika dakika ya 86 akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na Clatous Chama

Ilikuwa Tanzania iliyotangulia kufunga bao la kuongoza kwenye dakika ya 11 Simon Msuva akimalizia pasi kutoka kwa nahodha Mbwana Samatta

Pengine Stars watajilaumu kwa kukosa ushindi katika mchezo huo, walitawala hasa ikingatiwa Zambia walikuwa pungufu kwa muda mwingi wa mchezo

Stars sasa inahitaji kushinda mchezo wa mwisho dhidi ya DR Congo ili kuwa na nafasi ya kutinga hatua inayofuata

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’