Licha ya kuwepo taarifa za kufutwa kazi kwa Kocha Mkuu wa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ Adel Amrouche, lakini Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ameweka wazi kuwa kocha huyo yuko sana katika kikosi cha Stars
..... download Xtra 90 App



