Yanga - Local

Gamondi apagawa na shangwe Bukoba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Feb 2024
Gamondi apagawa na shangwe Bukoba

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amewashukuru Wananchi wa Bukoba kwa mapokezi makubwa waliyoipatia timu yao leo ilipowasili kutoka Dar es salaam kupitia Mwanza

Mamia ya mashabiki wa Yanga walijitokeza kwa wingi uwanja wa ndege wa Bukoba kuwapokea wachezaji wao walioambatana na benchi la ufundi na viongozi kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa kesho Ijumaa

Gamondi amesema mapokezi hayo yamewapa hamasa kubwa akiahidi kuwapa furaha kwa kuibuka na ushindi dhidi ya Kagera Sugar

"Nawashukuru sana mashabiki waliojitokeza kutupokea hapa, walichofanya leo ni jambo la kipekee. Kiukweli tumegushwa na kile tulichoshuhudia hapa ni hamasa kubwa kwetu kuelekea mchezo wa kesho," alisema Gamondi

Akizungumzia maandalizi ya mchezo Gamondi alisema wachezaji wote wako tayari kwa mchezo huo na mkakati wao ni kuvuna alama tatu na kuwapa furaha mashabiki wao

Yanga itakamilisha mazoezi ya mwisho leo katika uwanja wa Kaitaba ambapo uongozi wa Yanga umetoa ofa kwa mashabiki watakaojiandikisha kuwa Wanachama kuingia uwanjani kushuhudia mazoezi hayo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’