Yanga - Local

Yanga yazindua ofisi Jangwani

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Feb 2024
Yanga yazindua ofisi Jangwani

Ni rasmi sasa Rais wa Yanga Injinia Hersi Said leo amezindua ofisi za klabu ya Yanga zilizo ndani ya jengo la klabu hiyo lililoko mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es salaam

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh Hamis Mwinjuma alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo

Kuanzia leo shughuli zote za klabu zitafanyika Jangwani ambapo Watendaji wote watakuwa na ofisi katika jengo hilo

Hersi amewakaribisha Wanachama na Mashabiki wa Yanga kupata huduma mbalimbali katika ofisi zao za kisasa kabisa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
43m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
56m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’