Mshambuliaji wa Paris St-Germain Kylian Mbappe, 25, bado hajakubali masharti ya kujiunga na Real Madrid mkataba wake utakapomalizika huku klabu hiyo ya La Liga ikihangaika kufanya mazungumzo na mamake mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, na wakala, Fayza Lamari. (Marca)
..... download Xtra 90 App



