Yanga - Local

Yanga yaifuata KMC Morogoro

Joel JJ By Joel JJ
15 Feb 2024
Yanga yaifuata KMC Morogoro

Kikosi cha Yanga leo kinaelekea mkoani Morogoro tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya KMC ambao utapigwa Jumamosi, Februari 17 katika uwanja wa Jamhuri

Meneja wa Yanga Walter Harrison amesema timu inakwenda Morogoro ikiwa na lengo moja tu, kwenda kusaka alama tatu dhidi ya KMC

"Tumepata muda wa kufanya maandalizi ya mchezo huu. Wachezaji wote tuliowasajili msimu huu wameshiriki maandalizi, kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu hakuna mchezaji anayekosekana kutokana na majeruhi au sababu nyingine"

"Tunaamini kwa maandalizi tuliyofanya, tunakwenda Morogoro kuchukua alama tatu dhidi ya KMC," alisema Walter ambaye amewahi kuwa Mtendaji wa KMC

Kwenye mchezo huo Yanga itamkosa mlindda lango Metacha Mnata ambaye alionyeshwa kadi nyekundu katika mchezo uliopita dhidi ya Tanzania Prisons

Hata hivyo habari njema kwa Wananchi ni urejeo wa Djigui Diarra ambaye alirejea nchini mwanzoni mwa wiki hii baada ya kumaliza majukumu ya timu ya Taifa

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
8h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →