Simba - Local - JKT

Simba mikononi mwa JKT Tanzania, Meja Jen. Isamuhyo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Feb 2024
Simba mikononi mwa JKT Tanzania, Meja Jen. Isamuhyo

Wekundu wa Msimbazi Simba Sc leo wanaendelea na kampeni ya kusaka ubingwa wa ligi kuu 2023/24 wakiwa ugenini dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Meja Jen. Isamuhyo huko Mbweni

Hii ni mara ya kwanza kwa Simba kucheza katika uwanja huo ulio ndani ya kambi ya Jeshi nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amewataka mashabiki wa Simba kuchangamkia tiketi 4000 ambazo zitauzwa kwa mashabiki

Uwanja wa Meja Jen. Isamuhyo una uwezo wa kuchukua mashabiki 4000 waliosimama na viti 200 kwa ajili ya VIP

Huu ni mchezo wa kiporo wa kukamilisha mechi 15 za duru ya kwanza

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
35m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’