Ihefu Fc meendelea kutoa vichapo kwa wapinzani Ligi Kuu baada ya usajili mkubwa walioufanya kwenye dirisha dogo kwa kuwaleta mastaa kibao akiwemo mshambuliaji, Elvis Rupia na kiungo Marouf Tchakei ambao wameendelea kuibeba katika michezo ya Ligi Kuu
..... download Xtra 90 App



