Simba yajifua Ivory Coast

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd February 2024


Simba yajifua Ivory Coast

Kikosi cha Simba jana kilifanya mazoezi ya kwanza nchini Ivory Coast kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Asec Mimosas utakaopigwa kesho Ijumaa

Ari na morali ya vijana wa kocha Abdelhak Benchikha iko juu mkakati ukiwa kuzisaka alama tatu dhidi ya Asec na kujiweka katika nafasi nzuri ya kutinga robo fainali

Leo Simba itafanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny ambao utatumika Ijumaa

Simba itaanza mazoezi yake saa 4 usiku (saa 1 Ivory Coast) sawa na muda ambao mchezo huo utachezwa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.