Simba - Local

Simba yajifua Ivory Coast

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Feb 2024
Simba yajifua Ivory Coast

Kikosi cha Simba jana kilifanya mazoezi ya kwanza nchini Ivory Coast kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Asec Mimosas utakaopigwa kesho Ijumaa

Ari na morali ya vijana wa kocha Abdelhak Benchikha iko juu mkakati ukiwa kuzisaka alama tatu dhidi ya Asec na kujiweka katika nafasi nzuri ya kutinga robo fainali

Leo Simba itafanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny ambao utatumika Ijumaa

Simba itaanza mazoezi yake saa 4 usiku (saa 1 Ivory Coast) sawa na muda ambao mchezo huo utachezwa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
13h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’