Pacome Day iliyozinduliwa juzi na Yanga imezidi kuwa kubwa baada ya Bank ya CRDB kuweka fedha kudhamini tukio hilo ambalo kilele chake ni Jumamosi Februari 24 katika mchezo wa ligi ya mabingwa kati ya Yanga dhidi ya CR Belouizdad ambao utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



