Transfer - International

Tetesi za soka Ulaya, Alhamisi Februari 22 2024

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Feb 2024
Tetesi za soka Ulaya, Alhamisi Februari 22 2024

Chelsea inaongoza Arsenal katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen mwenye umri wa miaka 25 msimu unaokuja. (TeamTalks)

West Ham wanatazamia kumnunua mshambuliaji wa Bournemouth mwenye umri wa miaka 26 Dominic Solanke. (Telegraph – Subscription Required)

Meneja wa Bayern Munich Thomas Tuchel atapa kipaumbele kurejea Uingereza atakapoondoka katika klabu hiyo ya Ujerumani mwishoni mwa msimu huu. (Telegraph – Subscription Required)

Jurgen Klopp hatachukua nafasi ya Tuchel katika klabu ya Bayern Munich atakapoondoka Anfield mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa wakala wa meneja wa Liverpool. (Sky Sports Germany)

Mshambulizi wa AC Milan na Ufaransa Olivier Giroud, 37, anaweza kuondoka katika klabu hiyo na kwenda MLS mwishoni mwa msimu huu. (Corriere dello Sport – Via Itali)

Chelsea itasikiliza ofa kwa mlinda mlango wa Uhispania Robert Sanchez msimu huu wa joto na The Blues wanaweza kutafuta kuchukua nafasi ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26. (Football Insider)

Lakini The Blues hawatoi ofa kwa mlinzi wa Uingereza Levi Colwill, 20, ambaye analengwa na Paris St-Germain na Liverpool. (Standard)

Kiungo wa kati wa Real Madrid na Croatia Luka Modric anatarajiwa kuondoka katika klabu hiyo msimu huu wa joto. (Bild – In Deutsch)

Al-Ittihad itamlenga mshambuliaji wa Tottenham mwenye umri wa miaka 31 Son Heung-min na mshambuliaji wa Liverpool mwenye umri wa miaka 31 kutoka Misri Mohamed Salah katika dirisha la usajili la kiangazi. (Football Transfers)

Manchester United na Arsenal wanamtaka mshambuliaji wa Bayern Munich Mfaransa mwenye umri wa miaka 18, Mathys Tel. (Bild – In Germany)

Kiungo wa kati wa Everton James Garner analengwa na Tottenham na Newcastle, huku Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 22 akivutia pande nyingi za Ligi ya Premia. (Football Insider)

Liverpool wanatumai kuwa wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Luis Guilherme mwenye umri wa miaka 18 kutoka Palmeiras msimu huu wa joto. (Football Insider)

Chelsea na Arsenal wanaongoza katika kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa kati wa Aberdeen Lewis Carrol, 15, mwishoni mwa msimu huu. (Athletic)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’