Yanga - Local

Yanga yasaka robo fainali CAF CL dhidi ya CR Belouizdad

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Feb 2024
Yanga yasaka robo fainali CAF CL dhidi ya CR Belouizdad

Mabingwa wa kihistoria Tanzania Yanga leo wanatupa karata muhimu katika mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya CR Belouizdad

Mechi hiyo ya raundi ya tano kundi D, itapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 1 usiku

Dakika 90 za mchezo huo zitaamua hatma ya mkakati wa Yanga kuwania tiketi ya kufuzu robo fainali ya michuano hiyo

Baada ya Medeama kupoteza mchezo dhidi ya Al Ahly jana, ushindi mnono kwa Yanga leo unaweza kuwavusha hatua ya robo fainali moja kwa moja kabla ya mechi ya mwisho dhidi ya Al Ahly

Wananchi wanahitaji ushindi wa angalau mabao 4-0 ili kutinga robo fainali. Ushindi mwingine wowote bado utakuwa na faida kwa Yanga lakini ili kujihakikishia kutinga robo fainali, Yanga itahitaji angalau alama moja katika mchezo wa mwisho

Hivyo ni wazi Yanga leo itahitaji kupambana ili kumaliza kazi hapahapa nyumbani kwani mechi ya mwisho dhidi ya Al Ahly ni ugenini

Leo matarajio ni kuona 'full house' kwa Mkapa na muhimu ni mashabiki kuhakikisha wanashangilia kwa dakika zote 90 za mchezo

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’