Kiungo wa kati wa Chelsea Conor Gallagher anataka kusalia Stamford Bridge. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 24 amebakiza miezi 18 katika mkataba wake na amekuwa akihusishwa na kuhamia Tottenham. (Sky Sports)
..... download Xtra 90 App



