Simba - Local

Simba yapania kuimaliza Jwaneng Galaxy kwa Mkapa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Mar 2024
Simba yapania kuimaliza Jwaneng Galaxy kwa Mkapa

Kocha Mkuu wa Simba Abdelhakh Benchikha amesema mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy utakuwa kama fainali kwao na wamejipanga kushinda

Akizungumza katika Mkutano na Wanahabari, Benchikha alisema ukiondoa Asec Mimosas, timu nyingine tatu zina nafasi ya kufuzu

"Tunakwenda kucheza mechi muhimu dhidi ya Jwaneng Galaxy. Haitakuwa mechi rahisi kwa sababu kila timu inawania matokeo mazuri iweze kutinga robo fainali"

"Katika kundi letu ni Asec Mimosas tu ambao wamejihakikishia kufuzu. Wydad wana nafasi ya kufuzu lakini lazima washinde dhidi ya Asec na kusubiri matokeo yetu. Jwaneng wana nafasi ya kufuzu lakini ni lazima washinde na kusubiri matokeo ya mchezo wa Wydad"

"Lakini sisi (Simba) kama tutashinda basi moja kwa moja tutafuzu pasipo kusubiri matokeo ya timu nyingine"

"Nina imani kubwa na wachezaji wangu, pamoja na sapoti ya mashabiki wetu ni lazima tushinde mchezo huu ili tufuzu robo fainali tuwape furaha mashabiki wetu," alisema Benchikha

Mchezo dhidi ya Jwaneng utapigwa Jumamosi, saa 1 usiku

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’