Simba - Local

Kocha Simba mafunzoni Algeria

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Mar 2024
Kocha Simba mafunzoni Algeria

Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amerejea Algeria kuhudhuria mafunzo maalum ambapo atakuwa nchini humo kwa siku tano

Benchikha aliondoka mkoani Morogoro jana baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons na ameondoka Dar es salaam kuelekea Algeria

Klabu ya Simba imethibitisha kuondoka kwa Benchikha akitarajiwa kurejea nchini baada ya kumaliza mafunzo hayo

Benchikha atazikosa mechi mbili za ligi kuu dhidi ya Coastal Union na Singida Fountain Gate zitakazochezwa Machi 9 na 12, 2024

Katika kipindi hicho Benchikha amemuachia mikoba msaidizi wake, Farid Zemiti akishirikiana na benchi lake kukiongoza kikosi

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’