Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amesema mechi bado zipo nyingi ambazo zinaweza kuipatia Simba ubingwa wa Tanzania Bara, lakini amesisitiza ni lazima wachezaji waongeze umakini na kutumia vyema nafasi nyingi wanazotengeneza katika kila mechi
..... download Xtra 90 App



