Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amefichua mkakati wa kuiwinda Mamelodi Sundowns kimya-kimya akibainisha kuwa wanajiandaa kikamilifu kuhakikisha wanashinda mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali ligi ya mabingwa utakaopigwa Jumamosi, March 30
..... download Xtra 90 App



