Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amewahakikishia Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo kuwa msimu ujao wataendelea kuwaona wachezaji wao bora kikosini wakiwemo wale ambao mikataba yao inaelekea ukingoni
..... download Xtra 90 App



