Simba - Local

Simba yaomba sapoti ya mashabiki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 May 2024
Simba yaomba sapoti ya mashabiki

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda amewataka mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi uwanja wa Azam Complex hapo kesho katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Geita Gold

Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa habari kuelekea mchezo huo, Mgunda amesema shabiki ni mchezaji wa 12 uwanjani hivyo wanawahitaji sana katika mechi hizi za kuhitimisha msimu ili kuweza kutimiza malengo yao

"Tumefanya maandalizi mazuri na tuko tayari kwa mchezo dhidi ya Geita Gold utakaopigwa hapo kesho"

"Tunawaheshimu Geita Gold, ni timu nzuri ambayo ina kocha mzuri lakini niseme tuko tayari kupambana na kuhakikisha tunapata matokeo mazuri"

"Katika mchezo huo tutaingiza wachezaji 11 kutuwakilisha lakini tutahitaji nguvu ya mchezaji wetu muhimu wa 12 ambaye ni shabiki"

"Hivyo niwaombe mashabiki wetu wajitokeze kwa wingi kuwaongezea hamasa wachezaji na kuhakikisha wanashinda mchezo huu," alisema Mgunda

Simba inazihitaji alama tatu katika mchezo huo pamoja na mechi nyingine mbili zitakazokuwa zimebaki ambazo zote zitapigwa uwanja wa Azam Complex

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
43m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’