Klabu mpya iliyopanda daraja inajaribu kumshawishi meneja wao kusalia, wakati Mauricio Pochettino akiwa na chaguzi kadhaa mezani za kuamua atakokwenda.. Ipswich imempa meneja Kieran McKenna mkataba mpya ulioboreshwa kwa matumaini ya kusalia naye huku kukiwa na nia ya Manchester United , Chelsea na Brighton kumchukua (Sun)
..... download Xtra 90 App



