Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 imefikia tamati jana na kushuhudia Simba ikiambulia tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumaliza kwenye nafasi ya tatu ikizidiwa idadi ya magoli na Azam ambao wataungana na Yanga kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika
..... download Xtra 90 App



