Kupitia Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Yanga uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano, Julius Nyerere, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amewahakikishia Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo kuwa Kocha Miguel Gamondi ataendelea kuitumikia Yanga kwa msimu mwingine
..... download Xtra 90 App



