Simba - Yanga - Azam - Taifa Stars - Tanzania - Local

Stars yafanya kweli Zambia

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Jun 2024
Stars yafanya kweli Zambia

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imetakata uwanja wa Levy Mwanawasa, Ndola Zambia ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao Zambia katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu kombe la Dunia 2026

Bao pekee la Stars lilifungwa na Waziri Junior katika dakika ya 5 baada ya kazi nzuri kutoka Mudathir Yahya ambaye alimnyang'anya mpira kiungo wa Zambia katika eneo la hatari na kumtengenezea Waziri aliyefunga bao lake la kwanza kwa timu ya Taifa

Zambia walitawala mchezo huo kwa kutengeneza nafasi nyingi lakini uimara wa mlinda lango Ali Salim pamoja na safu ya ulinzi iliyoundwa na Mwamnyeto, Bacca, Zimbwe Jr na Mwaikenda ilikuwa kikwazo kwa Zambia

Ni ushindi ambao unaifanya Stars ifikishe alama 6 na kupanda mpaka nafasi ya pili kundi E sawa na Morocco ambao hata hivyo wamecheza mechi mbili

Kwa hakika ni ushindi wa heshima kubwa kwa wachezaji wa Stars ambao walipambana kwelikweli siku ya leo

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’