Yanga - Local

Yanga kuweka hadharani kikosi Jumatatu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Jun 2024
Yanga kuweka hadharani kikosi Jumatatu

Siku ya Jumatatu, Julai 01 klabu ya Yanga inatarajiwa kuweka hadharani kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2024/25

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema wataweka hadharani majina ya wachezaji wote waliosajiliwa na Yanga kwa ajili ya 2024/25

Hii ni pamoja na kutangaza nyota waliosajiliwa kwa ajili ya kuwatumikia Wananchi msimu ujao

Aidha Yanga pia siku hiyo itatangaza ni wapi timu itakwenda kuweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya 2024/25

Likizo za wachezaji wa Yanga zinamalizika mwishoni mwa wiki ambapo kuanzia Jumatatu, Julai 01 wanatakiwa kurejea Avic Town tayari kwa mipango ya pre-season

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’