Yanga - Local

Nyota Yanga kuanza kuripoti Avic Town Jumatatu

Joel JJ By Joel JJ
7 Jul 2024
Nyota Yanga kuanza kuripoti Avic Town Jumatatu

Likizo imemalizika! Ndivyo unavyoweza kusema ambapo uongozi wa Yanga umewataka wachezaji wote kuripoti Avic Town kuanzia kesho Jumatatu, Julai 08

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali kamwe amesema timu itaanza maandalizi hapo Avic Town lakini huenda baadae kikosi kitasafiri nje ya nchi

Yanga ina mualiko kutoka moja ya nchi barani Ulaya kwenda kufanya pre-season huku pia Wananchi wakiwa na mialiko kutoka nchi nyingine kwa ajili ya kwenda kucheza mechi za kirafik

Nchi hizo ni pamoja na Afrika Kusini ambapo Yanga itakwenda kushiriki michuano maalum itakayoandaliwa na Kaizer Chiefs

Yanga pia imealikwa nchi za Kenya na Rwanda. Baadhi ya wachezaji tayari wako jijini Dar es salaam na pengine kuanzia kesho Jumatatu wataanza kuonekana pale Avic Town

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →