Simba - Local

Simba kutimkia Misri leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Jul 2024
Simba kutimkia Misri leo

Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka nchini leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu wa mashindano 2024/25

Simba itaondoka JNIA saa 11 jioni ambapo kikosi kitakwenda kuweka kambi ya wiki tatu katika Mji wa Ismailia

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amesema wachezaji wote ambao wako jijini Dar es salaam wataondoka leo lakini kuna mchezaji mmoja ambaye ataungana na timu huko Misri

"Tutaondoka Tanzania saa 11 jioni tukiwa na wachezaji wote, ni mchezaji mmoja tu ambaye ataungana nasi huko Misri," alisema Ahmed

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davies atakuwa na wiki tatu za kukiandaa kikosi chake ambacho kimesheheni damu changa

Simba imeongeza zaidi ya wachezaji 10 wapya hivyo ni wazi Fadlu atakuwa na muda mzuri wa kujenga timu mpya kwa ajili ya kushinda makombe

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’