Dodoma - Local - Transfer

Kipa Kagera Sugar kutua Dodoma Jiji

Joel JJ By Joel JJ
9 Jul 2024
Kipa Kagera Sugar kutua Dodoma Jiji

Dodoma Jiji iko mbioni kumsaji kipa wa Kagera Sugar raia wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Alain Ngeleka, ambaye alionyesha uwezo mkubwa msimu uliopita wa Ligi Kuu

Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa kipa huyo aliomba kuondoka na kuvunja mkataba licha ya kwamba ulikuwa unamalizika 2025

"Hakuna shabiki yeyote wa kweli wa soka ambaye hajamuona kipa huyu. Ni kipa mzuri sana kutoka DR Congo, kusema kweli atatusaidia sana, na huu ni ushauri wa kocha wetu Mecky Mexime kwa sababu ameshaifundisha Kagera Sugar," alisema kiongozi Dodoma Jiji

Klabu hiyo pia imewaongeza mikataba wachezaji wake 10, ambao imeona wanaweza tena kuisaidia timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, imeeleza wachezaji hao wataunganika na wale ambao itawasijili kwa ajili ya kuunda kikosi imara msimu ujao. Wachezaji ambao wataendelea kusalia kwa 'Walima Zabibu' hao ni Yassin Mgaza, Fadhili Mwinyimvua, Emmanuel Martin, Zidane Sereli, Augustino Nsata, Anderson Kimweri, Robison Kamura, Ntenje Albano, Apollo Onyango, na Mwana Kibuta

IPP Media

More Stories

Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2m ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
29m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
2h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
12h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
13h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
20h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
21h ago
READ MORE →