Simba - Local - Transfer

Simba yamnasa Awesu

Joel JJ By Joel JJ
16 Jul 2024
Simba yamnasa Awesu

Kiungo wa KMC Awesu Awesu yuko mbioni kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Simba, imefahamika

Simba na KMC tayari zimefikia makubaliano na kiungo huyo aliyekuwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na watoza ushuru hao wa Kinondoni

Wiki iliyopita Awesu aliandika barua ya kuomba kuvunja mkataba huo lakini mabosi wa KMC wakamuwekea ngumu wakimtaka awasilishe mezani ofa ya timu inayomuhitaji

Awesu anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka miwili kisha kusafiri Misri kuungana na kikosi cha Simba kinachoendelea na pre-season

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali ametamba kuwa watafunga dirisha la usajili kibabe kwa kushusha mashine za 'UBAYA UBWELA'

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
3h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
3h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
3h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
5h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →