Real Madrid wanavutiwa na beki wa Liverpool Trent Alexander-Arnold, Aston Villa wanataka pauni milioni 60 kutoka kwa Al-Ittihad kumuuza Moussa Diaby, Marseille wakubali dili la kumnunua Mason Greenwood wa Manchester United. Real Madrid wana hamu ya kumsajili beki wa Uingereza Trent Alexander-Arnold, 25, ambaye amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Liverpool. (Talksport)
..... download Xtra 90 App



