Sakata la klabu ipi ina haki ya kummiliki beki Lameck Lawi, kati ya Simba na Coastal Union bado limebaki mikononi mwa Kamati ya Hadhi na Haki za Wachezaji iliyopo chini ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), baada ya pande mbili jana kutoa maelezo mbele ya kamati hiyo, imeelezwa
..... download Xtra 90 App



