Yanga - Local

Yanga yaichapa Kaizer Chiefs 4-0, yabeba Toyota Cup

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Jul 2024
Yanga yaichapa Kaizer Chiefs 4-0, yabeba Toyota Cup

Yanga imebeba Toyota Cup ugenini ikiifumua Kaizer Chiefs mabao 4-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Toyota Bloemfontein huko Afrika Kusini

Unaweza kusema ilikuwa mechi ya Yanga kudhihirisha umwamba mbele ya kocha wake wa zamani Nasreddine Nabi ambaye vijana wake walikuwa na wakati mgumu

Alikuwa ni Prince Dube aliyefungua kalamu ya mabao akitumia makosa ya safu ya ulinzi ya Chiefs kabla ya Aziz Ki kuongeza la pili akipokea pasi ya Duke Abuya

Yanga ilikwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0 na ikarejea kipindi cha pili kuongeza mengine mawili kupitia kwa Aziz Ki na Clement Mzize

Aziz Ki alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo huo ulioshuhudiwa na mashabiki takribani 46,000

Hii ilikuwa mechi inayohitimisha pre-season ya Yanga Afrika Kusini ambapo sasa Wananchi wanarejea nchini kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya wiki ya Mwananchi

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’